Tuma ujumbe kwa faragha
Faragha yako ni muhimu sana kwetu. Kwa ufumbaji wa mwisho hadi mwisho kwenye WhatsApp, ujumbe wako wa kibinafsi, picha, simu na mengine mengi husalia kati yako na watu unaowachagua, kumaanisha kwamba hata WhatsApp haiwezi kuziona.
